Author: arushatv

Na Mwandishi wa A24tv. Kamishna wa Elimu Dkt. Lyabwene Mtahabwa amesema Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 inasisitiza suala la upatikanaji wa huduma bora ya chakula na lishe kwa Wanafunzi Shuleni ili kuwaepusha kukatiza masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo njaa Dkt. Lyabwene amesema hayo leo Julai 25, 2024 jijini Dodoma katika Kongamano la Kitaifa la Utoaji Chakula na Lishe Shuleni, akisisiza kuwa kauli Mbiu ya Kongamano hilo inayosema *_Huduma ya chakula na lishe shuleni kwa afya na elimu bora_* inaakisi matakwa ya Sera ya Elimu na hivyo ni muhimu kuzingatia.      Kamishna wa…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv Arusha Taarifa fiche kutoka vyanzo vya ndani zinaeleza kwamba ushiriki wa wachezaji wa Riadha katika mashindano ya Olympic ya mwaka huu 2024 Paris Nchini Ufaransa huenda kikosi Cha timu ya Tanzania iliyo tarajiwa kwenda kwenye mashindano hayo licha ya maandalizi ya safari na Mazoezi kwa wachezaji safari inaelezwa huenda ikawa imeota mbawa kufuatia uvumi kupitia mitandao ya kijamii na makundi ya Whatsapp ya wadau wa Riadha nchini. Miongoni mwa taarifa zinabainisha kuwa dosari ya safari hiyo kusua sua ni kwasababu ya sintofahamu iliopo juu ya matumizi ya vifaa, vilivyo kabidhiwa katika Kambi hiyo hivi karibuni ikiwemo…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . WAHASIBU wakuu wa Serikali wa nchi za bara la Afrika wapatao 2000 wanatarajiwa kushiriki katika  Mkutano mkubwa wa pili wa kimataifa wa siku tatu,u utakaofanyika Desemba 2-hadi 5 mwaka 2024 kwenye kituo cha mikutano ya kimataifacha  AICC Jijini Arusha. Mhasibu Mkuu wa Serikali,CPA, Leonard Mkude,ameyasema hayo leo Jijini Arusha, alipokuwa akizungumza na Vyombo vya habari akielezea maandalizi ya Mkutano huo ambao utawashirikisha Wakaguzi Wakuu wa hesabu za Serikali barani afrika. Mhasibu Mkuu wa Serikali,CPA, Leonard Mkude akiongea na vyombo vya habari . Amesema kuwa lengo la mkutano huo uliandaliwa na Umoja wa Wahasibu Wakuu wa…

Read More

Na Bahati Siha, Wananchi wa Kitongoji cha Makao mapya kata ya Orkolili Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro ,wamelalamika kuchoshwa na ahadi wanazopewa na Meneja wa I(TANESCO) Wilayani humo Ismael Salum kwamba watawekewa umeme , Ambapo wamesema huu mwaka wa 7 hawajapata licha ya nguzo kufika katika eneo. Wakizungumza na waandishi wa habari katika Kitongoji hicho,wamesema jambo hilo limewaathiri kisakonolojia kwani wamekuwa wakiziangalia nguzo hizo kwa uchungu wa hali ya juu nakutamani bora zisingekuwepo “Ni kweli huu ni mwaka wa 7 Nguzo kubwa zimesimamishwa hapo ,sasa kama waliona muda wa sisi kupata umeme hawajafika kwani hizi Nguzo walizileta hapa “walihoji Wananchi Raphael…

Read More

Na Bahati Hai . mfugaji wa Ngamia Kijiji cha mtakuja Wilayani Hai mkoani Kilimanja ameahidi kumpatia Rais Samia Suluhuu Hassani Ngamia. Serikali imeombwa kuhamasisha jamii kuhusu ufugaji wa Ngamia na faida zake ili iweze kuwa na mwamko wa kufuga na kupata maziwa pamoja nyama kwani itasaidia kuinua kipato cha familia Akizungumza na waandishi wa habari leo mfugaji wa wanyama hao Dahir Jama Yussuf mkazi wa kijiji cha Mtakuja kata ya Kia, wilayani Hai mkoani waliomtembelea kijijini hapo, kufahamu namna alivyo weza kuwafuga wanyama hao amesema wanafaida kubwa “Ni kweli wanafaida kubwa ndiyo sababu naomba Serikali iweke kipaumbele kuhamasisha jamii kufuga…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha ZAIDI ya washiriki 1000 kutoka mikoa mbalimbali nchini,wanatarajiwa kushiriki kukimbia kwa kushiriki katika mbio za Tanfoam zitakazofanyia jijini Arusha,kuanzia Disemba mosi mwaka huu Wakizungumza na vyombo vya habari  jijini Arusha katika  hafla ya uzinduzi wa mbio hizo,Mkuu wa Kitengo cha Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Tanfoam,Gloria Temu,amesema mbio hizo zitafanyika katika kanda tatu na wataanza na ufunguzi kwenye kanda ya kaskazini. “Makao makuu ya mbio ni Arusha,lakini zitaongezeka kwenda kwenye mikoa mingine kwa mzunguko wa mikoa mitatu iliyoko kwenye kanda tatu nchini,ambayo ni Dodoma,Mwanza na Arusha,”alisema Gloria. Hata hivyo,alisema lengo kuu la mbio hizo,ni kuelimisha…

Read More