Facebook Twitter Instagram
    Facebook Twitter Instagram
    A24TV News
    • Home
    • Habari
    • Magazeti
    • Break News
    • Siasa
    • Burudani
    • Makala
    • Michezo
    A24TV News
    Home»Habari»NABII MKUU GEORDAVIE AGAWA MISAADA NCHINI BURUNDI APEWA TUZO YA HESHMA

    NABII MKUU GEORDAVIE AGAWA MISAADA NCHINI BURUNDI APEWA TUZO YA HESHMA

    0
    By arushatv on November 23, 2022 Habari

    Na Geofrey Stephen A24Tv

    Nabii Mkuu Mh GeorDavie  Amekabidhiwa Tuzo ya Heshima Nchini Burundi itwayo Mandela Peace Center   kwa kutambua mchango wake katika kusaidia jamii yenye uwitaji .

    Akiwa nchini Burundi Mh Nabii Geordavie Amekabidhiwa Tuzo iyo kama Baba wa Amani Duniani kwa kutambua Mchango wake wa kusaidia jamii katika mambo mubimu ikiwemo  watu wenye matatizo mbali mbali na wenye uwitaji .

    Pamoja na tuzo hiyo Nabii Mkuu Mh Geordavie alipata Fursa ya kukutana na viongozi mbali mbali nchini humo kwa mazungo ambapo alielezea ziara yake ilivyo lenga kuwagusa wenye maitaji.

    Amesema yeye kupewa tuzo iyo imemuongezea kufanya kazi zaidi katika kuwanyanyua watu wenye uwitaji kwani pamoja na kuhubiri injili lakini pia ameguswa kusaidia watu wenye uwitaji hasa katika kupata mitaji ya kuendesha maisha yao 

    Nabii Mkuu amesema ataendelea kusaidia wasio jiweza kwani katika uduma yake ameanza kuwaudumia watu amekutana na wenye changamoto kubwa hivyo akaona ni vyema kuwashika mikono katika maisha yao .

    Nabii Mkuu GeorDavie ameendelea kugusa Maisha ya Mamia kwa Maelfu ambapo sio kwa Tanzania tu ambapo uduma yake inapo patikana na sasa amevuka mipaka na kwenda nje ya nchi kusaidia na kuwagusa jamii yenye uhitaji .

    Mbali na ziara iyo Nabii Mkuu amewafungua na kuwatamkia baraka wananchi wa nchini Burundi kila jambo ambalo watakalo gusa na kufanya jambo la maendeleo wabarikiwe na wasirudi nyuma bali wafanikiwe kusonga mbele zaidi .

    Mwisho .

    Post Views: 110
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr WhatsApp Email
    Previous ArticleWAJAWAZITO WATAKIWA KUFANYA MAZOEZI.
    Next Article MAMA ADAIWA KUUA WATOTO WAKE KWA KUWAKATA NA PANGA KAMA MBOGA MAGAZETI YA LEO NA ARUSHA 24TV

    Related Posts

    Tanzania na India kuendeleza Uhusiano wa Kibiashara na Uwekezaji

    March 27, 2023

    TANZANIA YAKABILIWA NA UHABA WA MABAHARIA VIJANA.

    March 27, 2023

    Marcas Ajitosa kuwania U NEC Arusha

    March 25, 2023

    VIKUNDI 47 KUPATIWA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI MOITA MONDULI

    March 24, 2023

    Leave A Reply Cancel Reply

    Facebook Twitter Instagram Pinterest
    • Home
    • Habari
    • Magazeti
    • Break News
    • Siasa
    • Burudani
    • Makala
    • Michezo
    © 2023 a24tv. Designed by Ishimax Ltd.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.