Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Edward Lowassa (70) amefariki Dunia leo February 10,2024 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais , Dkt. Philip Mpango ametangaza taarifa za kifo cha Lowassa muda huu akiwa LIVE kupitia TBC.
![](https://a24tv.co.tz/wp-content/uploads/2024/02/20240210_152933.jpg)
Mwisho .
Like this:
Like Loading...