Facebook Twitter Instagram
    Facebook Twitter Instagram
    A24TV News
    • Home
    • Habari
    • Magazeti
    • Break News
    • Siasa
    • Burudani
    • Makala
    • Michezo
    A24TV News
    Home»Habari»WAANDISHI WA HABARI ZA KIMTANDAO WAPATIWA MAFUNZO YA KUANDIKA HABARI ZA SENSA KWA UMAKINI

    WAANDISHI WA HABARI ZA KIMTANDAO WAPATIWA MAFUNZO YA KUANDIKA HABARI ZA SENSA KWA UMAKINI

    0
    By arushatv on June 15, 2022 Habari

    Na Geofrey Stephen Iringa

    Mhadhiri wa Shule Kuu ya Habari Chuo Kikuu Cha Dar es salaam (UDSM) Dk. Darius Mukiza amewapongeza waandishi wa habari za mitandao ya kijamii wanaoshiriki katika semina ya siku mbili ya Sensa ya watu na makazi inayofanyika kwenye Chuo Kikuu Kishiriki Cha Mkwawa mjini Iringa Kwa kazi kubwa iliyofanyika Jana katika kuripoti masuala ya sensa.

    Amebainisha kuwa mmedhihirisha kwamba ninyi ni muhimu kwenye jamii katika kufikisha ujumbe husika na ndiyo maana Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imeanza kuwapa mafunzo nyie Kwa kuona umuhimu wenu.

    “Jana Kila group la Whatsapp nililoingia au Facebook, Instagram,Blogs,YouTube na mitandao mingine ilikuwa na habari ya semina ya Sensa mjini Iringa mmeitangaza vizuri semina hiyo,” Amesema Dk.Mukiza.

    Ameongeza kuwa ni matumaini yake kwamba kazi ya kuuhabairisha umma kuhusu sensa ya watu na makazi inatendelea mpaka tarehe 23, Agosti 2022 wakati ambapo kazi  ya sensa hiyo itakapofanyikika na ni wazi mtaendelea na kazi nzuri pia Kwa siku zijazo.

    Mhadhiri wa Shule Kuu ya Habari Chuo Kikuu Cha Dar es salaam (UDSM) Dk. Darius Mukiza, Akizungumza na Waandishi mbalimbali wa mitandao ya kijamii wakati wa mafunzo maalum juu ya zoezi la Sensa yanayoendelea mkoani Iringa.



    Post Views: 47
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr WhatsApp Email
    Previous ArticleBAJETI MPYA 2022- 2023 KIDATO CHA 5 NA 6 BUREE YAWEKA HISTORIA
    Next Article YANGA BINGWA 2021-2022 BAJETI YAGUSA KILA KONA

    Related Posts

    SERIKALI YAFUNGIA MGODI WA GEM AND ROCK VENTURE ULIOKO MIRERANI

    March 20, 2023

    TRA CHUNYA KUSAMBAZA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WACHIMBAJI WA DHAHABU.

    March 16, 2023

    Wizara ya Madini imefanikiwa kutaifisha madini ya Tanzanite yenye uzito wa kilo 4 yenye thamani ya mamilioni ya fedha  kutoka kwa Meneja wa Mgodi wa Gem & Rock Venture

    March 16, 2023

    DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

    March 16, 2023

    Leave A Reply Cancel Reply

    Facebook Twitter Instagram Pinterest
    • Home
    • Habari
    • Magazeti
    • Break News
    • Siasa
    • Burudani
    • Makala
    • Michezo
    © 2023 a24tv. Designed by Ishimax Ltd.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.