Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano Biashara na Uwekezaji wa bunge la jumiya ya Afrika Mashariki EALA , amezitaka nchi za Jumuiya kuzisisitiza Idara za uhamiaji za nchi zao kufuata sheria ya utoaji wa viza. | Habari Mpya 2024 A24TV News