Karibu Arusha 24Tv leo June 9, 2022,Tunakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania, Hii ni A24Tv .
Author: arushatv
MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa amewataka wanawake wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Jumuiya hiyo kuwaheshimu viongozi wao walioko mada dearakani na kuwataka pamoja na kuheshimu kanuni za uchaguzi. Kabaka amesema hayo Jijini Arusha wakati wa ziara yake ya kikazi ya siku moja ambapo alipata fursa ya kufanya mkutano na wanawake wa UWT mkoa wa Arusha uliofanyika katika ukumbi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) mkoa wa Arusha. “Uchaguzi ni Demokrasia na kila mwanachama ana haki ya kuvhagua na kuchaguliwa lakini niwatake wanawake wote wenye nia ya kugombea waje kwa utaratibu,wawaheshimu viongozi wao walioko madarakani kwa kipindi…
Mwandishi Wetu,Arusha Zahanati ya Kikatiti iliyopo wilayani Arumeru Mashariki mkoani Arusha ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Hassan alitoa jumla ya kiasi cha sh,10 milioni oktoba mwaka Jana kuchochea ujenzi wake inataraji kukamilika mwishoni mwa mwezi huu. Rais Samia wakati akiwa njiani kuelekea mkoani Arusha alisimama eneo la Kikatiti na kisha kusikiliza changamoto ya kukwama kwa ujenzi wa zahanati hiyo tangu mwaka 2013 ambapo alichangia fedha hizo na kuagiza mara moja ujenzi uendelee. Akizungumza na waandishi wa habari mkurugenzi wa halmashauri ya Meru,Mwalimu Zainab Makwinya alisema kwamba baada ya Rais Samia kutoa fedha hizo wao kama halmashauri…
Karibu Arusha 24Tv leo Juni 8 Mwaka 2022 Kupitia Habari Kubwa Magazeti ya Leo yalioandikwa Mbele na Nyuma Magazetibya Tanzania Hii ni A24Tv .
Na Joseph Ngilisho,Arusha Kaya zaidi ya 280 zimeathirika Kisaikolojia baada ya nyumba zao za kuishi na biashara walizojenga katika barabara Mianzini- Timbolo kuvunjwa na Halmashauri ya Arusha wilayani Arumeru Mkoani Arusha na kufanya kuishi kwa kubangaiza . Waathirika hao wamemwomba Rais Samia Suluhu Hassan aweze kuwasaidia kulipwa fidia ya shilingi bilioni 1.7 baada ya kushinda kesi mahakamani na halmashauri hiyo kushindwa kuwafidia . Nyumba 43 zilibomolewa na wananchi hao wamekuwa wakihangaika kule ya huko kutafuta haki lakini viongozi wa Halmashauri ya Arusha imekuwa ikiziba masikio na kuwaacha kama yatima na wasijue la kufanya. Ombi hilo,wamelitoa kwa Rais Samia baada ya…
Karibu Arusha 24Tv leo June 7, 2022,Tunakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania, Hii ni A24Tv .
Karibu Arusha 24Tv Na Geofrey Stephen .Arusha Serikali imesema itachukua na kuyafanyia kazi maoni yote yanayotolewa na wadau wa elimu kuhusu Mapitio ya sera ya elimu ya mwaka 2014 na mitaala ya elimu ili kufanya mageuzi makubwa ya elimu nchini yanayotarajiwa kufanyiwa maamuzi mwakani. Wizara ya elimu, Sayansi na Teknolojia ina vipaumbele saba vya Serikali kwenye sekta ya elimu ambavyo ni kufanya mapitio ya sera ya elimu na mafunzo ya mwaka 2014; kuangalia sheria ili iendane na matakwa ya sera; Mapitio ya mitaala ya elimu; Kuangalia idadi ya waalimu, wakufunzi, na wahadhiri wanaohitajika; Ubora wa walimu, Wakufunzi, na Wahadhiri; Kuimarisha…
Na Mwandishi wa A24Tv Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji Viwanda na Biashara upande wa Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amesema Kitovu cha teknolojia za zana za kilimo kitakachoanzishwa Wilaya ya Maswa kitaongeza tija ya uzalishaji wa mazao mbalimbali ya kilimo kuanzia maandalizi ya shamba, uvunaji na uchakataji wa mazao hayo. Dkt Hashil ameyasema hayo Juni 4, 2022 alipotembelea Jengo la raslimali za kilimo lililopo kijiji cha Mwandete Wilaya ya Maswa litakalotolewa kwa Kituo cha Zana za Kilimo na Ufundi Vijijini (CAMARTEC) kwa ajili ya kuanzisha Kitovu cha teknolojia za Kihandisi kitakachotoa huduma za mafunzo na zana za kilimo…
Karibu Arusha 24Tv leo June 6, 2022,Tunakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania, Hii ni A24Tv .
Na Joseph Ngilisho, Lushoto. Mbunge wa Jimbo la Lushoto,mkoani Tanga,Shaaban Shekilindi ameishauri serikali kukamilisha ujenzi wa barabara ya mchepuko kwa kiwango cha Lami ili kuondoa changamoto ya Mara kwa Mara inayotokana na maporomoko ya mawe kwa barabara kuu inayotoka Mombo Hadi Lushoto ambayo imekuwa kilio kikubwa kwa wafanyabiashara wa mazao na mbogamboga pindi inapoziba. Aidha ameishauri serikali kuangalia namna ya kuwachukukia hatua Kali makandarasi wanaochelewesha miradi mbalimbali ya maendeleo na kusababisha wananchi kuendelea kuteseka kwa kukosa huduma ya usafiri Katika wilaya hiyo. Shekilindi ametoa kilio hicho mwishoni mwa wiki mbele ya kiongozi wa mbio za mwenge Kitaifa,Sahili Geraruma wakati Mwenge…