Facebook Twitter Instagram
    Facebook Twitter Instagram
    A24TV News
    • Home
    • Habari
    • Magazeti
    • Break News
    • Siasa
    • Burudani
    • Makala
    • Michezo
    A24TV News
    Home»Business»MONGELA AZINDUA MWALIMU SPECIAl !NMB

    MONGELA AZINDUA MWALIMU SPECIAl !NMB

    0
    By arushatv on July 6, 2022 Business

    Na Geofrey Stephen Arusha.

    Wito umetolewa kwa Benki ya NMB hapa nchini kuhakisha inatoa elimu ipasayo kwa watumishi wa sekta ya Elimu  Walimu kuhusiana na Mikopo wanayoimba isije kuwashushuia morali ya  kufanya majukumu yao ya kufundisha wakiwa na hofu ya Mikopo wanayoikopa wakiofia riba kubwa.

    Wito huo Umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mogella wakati akizindua huduma mpya ya Mikopo kwa walimu ‘ Mwalimu Spesho’ Katika Hotel ya Point Zone ya Jijini Arusha  ikiwa ni mikopo iliyoboreshwa kwa ajili ya Walimu pamoja na kuwa na Riba Ndogo Sambamba na kuwa na kipindi rafiki cha ulipaji wa mkopo huo.

    Amesema kuwa Kutokana na Benki ya NMB kuzindua Huduma hiyo ambayo ni muhimu mkubwa sana kwa walimu ana matumaini kuwa italeta chachu ya maendeleo ya elimu hapa mkoani Arusha na hata nchi nzima kwa kuwa uwalimu ni sekta muhimu sana katika maendeleo ya nchi .

    Aidha kwa upande wake Meneja wa huduma ya wateja binafsi wa Benki ya NMB Aikasia Muro amesema kuwa waliamua kuleta huduma hiyo mara baada ya kufanya uatafiti ulioshirikisha walimu wenyewe na kuona kuna umuhimu wa kuwarahishishia walimu huduma za kibenki kwa kuwapunguzia makali.

    Amesema kuwa kuwa leo hii wamaezindua huduma hii ya MWALIMU SPESHO ambapo walimu watapata mikopo iliyorafiki kwa maana walimu ni wateja wa muda mrefu wa huduma ya benki ya NMB na hivyuo ni muhimu kwa Benki hiyo kutambua kuwawekea fursa hiyo ya walimu  kufurahia huduma zao.

    Akitolea Mfano kwa Upande wa Mikopo hiyo ya Mwalimu Spesho kwenye upande wa kilimo wameshusha Riba ya mkopo wa kilimo hadi asilimia Tisa na zaidi wakiwa wameweka muda wa mpito wa kusubiri marejesho hadi pale mwalimu huyo aliyekopa atakapovuna mazoa yake.

    Baadhi ya walimu walioudhuria uzinduzi wa huduma hiyo wamepongeza Benki ya NMB kwa kuwajali na kuwakutanisha kwa pamoja jambo ambalo limewafungua na kutambua huduma za kibenkI na wamesema kwamba watakua mabolozi kwa walimu wenzao katika kuakikisha kwamba wanatumia Benki kama sehemu ya maisha yao kwani hapo awali walikua wanajua kwamba wakipata imkopo watasumbuliwa na riba kubwa jambo ambalo wameona tofauti katika uzinduzi huo .

     

    mwisho

    Post Views: 83
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr WhatsApp Email
    Previous ArticlePANYA TISA WAANZA MAFUNZO KUPAMBANA NA WALIOPATA MAJANGA NA MAGONJWA
    Next Article Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Prof. Godius Kahyarara Serikali ya Awamu ya Sita imedhamiria kuiona Tanzania Katika Uchumi wa Bara la Afrika

    Related Posts

    WAZIRI MKENDA AZINDUA MKOPO WA ELIMU KUTOKA BENK YA NMB.

    March 15, 2023

    Tanzania na China Kuendeleza Uhusiano wa Kibiashara

    February 27, 2023

    RC MAKALA AISHUKURU BENKI YA NMB KUZAMINIA ZIARA YA VIONGOZI MACHINGA NA BODABODA RWANDA.

    February 4, 2023

    BANK YA UBA YAFIKA ARUSHA WAFANYA BIASHARA WAFURAIYA RIBA NAFUU

    January 20, 2023

    Leave A Reply Cancel Reply

    Facebook Twitter Instagram Pinterest
    • Home
    • Habari
    • Magazeti
    • Break News
    • Siasa
    • Burudani
    • Makala
    • Michezo
    © 2023 a24tv. Designed by Ishimax Ltd.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.